TOPIC 8: EXPRESSING OPINIONS AND FEELINGS What is your opinion? Do you like city life or rural life? There are some people who want to go to live in towns. They think that life is cheap and simple there. They think they can buy cars, houses, good clothes etc. Giving opinions can be easily expressed during debates Example: Motions 1. Boarding schools provide better education than day school 2. Co- education school are better than single sex school 3. Special ability schools are not special in rolling students 4. Students failure in examination is due to poor teaching. Look at…
Author: Msomi Bora
TOPIC 7: TALKING ABOUT ONES FAMILY EXPRESSING FAMILY RELATIONS A family is smallest social unit. The family consists of father, mother, children and relatives. This kind of a family is called Extended family Expressing Kinship My name is Birungi; my mother’s name is Makrita and my father’s name is Juma. My uncle from my mother’s side is called John and another uncle on my father’s side is called Jamal. My grandfather lives in Ihanga village with his three sons; Bahari, Jamali and Bakari. I have five brothers; Atanas, Mussa, Geoffrey, David and Chris. My uncle has two sisters, who…
TOPIC 6: EXPRESSING LIKES AND DISLIKES The word like means to be sound as or pleased with from the verb we get the word like and dislike opposite or antonym. Grammatically likes/dislike are not nouns but only used in everyday talks (spoken English) whether like or dislike the force behind them are human feeling, taste experience traditions. Usually like and dislike are expressed in non-verbal forms of communication such as gesturers, social expressions movement nodding. Non- verbal – communication is also called body language EXPRESSING LIKES: I like … I love… I adore… I’m crazy about… I’m mad about… …
TOPIC 5: EXPRESSING ONGOING ACTIVITIES This activity can be done by individual or somebody else. They refer to what is going on at a time of observation guessing, talking and so on. This is Present Continuous Tense or Progressive Aspect The verbs end with …ing 1. Martha and Consolata are sweeping the floor 2. It is looking at you 3. They are eating rice 4. You are playing nicely When you go to school in the morning there are a lot of activities going on, you will see: 1. Some students sweeping the compound 2. Some students watering the flowers…
KISWAHILI NOTES FOR FORM TWO(Kiswahili Kidato cha Pili) We have:Notes 1 and Notes 2Notes 1To view the Notes, click the following links below: TOPIC 1 – UUNDAJI WA MANENO TOPIC 2 – MATUMIZI YA LUGHA KATIKA MIKTADHA MBALI MBALI TOPIC 3 – UHAKIKI WA KAZI ZA FASIHI SIMULIZI TOPIC 4 – UHIFADHI WA KAZI YA FASIHI SIMULIZI TOPIC 5 – UTUNGAJI WA KAZI ZA KIFASIHI TOPIC 6 – UANDISHI TOPIC 7 – USIMULIAJI WA MATUKIO TOPIC 8 – UFAHAMUNotes 2To view the Notes, click the following links below:1. DHANA ZA MSINGI ZA SARUFI MAUMBO2. UUNDAJI WA MANENO3. MATUMIZI YA LUGHA KATIKA MIKTADHA MBALIMBALI4. UHAKIKI…
TOPIC 8: UFAHAMU Ufahamu ni dhana inayorejelea kujua na kulielewa jambo kwa usahihi na kuweza kulielezea upya kwa usahihi bila kupoteza maana yake ya msingi. Ufahamu wa mtu waweza kupimwa katika kusikiliza jambo au katika kusoma. UFAHAMU WA KUSIKILIZA Ufahamu wa kusikiliza ni zaidi ya kusikiliza tu kile kilichosemwa; badala yake ni uwezo wa mtu kuelewa maana ya maneno anayoyasikia na kuweza kuhusiana nayo kwa namna fulani. Kwa mfano mwanafunzi anaposikiliza hadithi, ufahamu mzuri wa kusikiliza humsaidia kuielewa hadithi hiyo, kuikumbuka, kuijadili, na hata kuisimulia tena kwa maneno yake mwenyewe. Kujibu Maswali ya Ufahamu kutokana na Habari uliyoisikiliza Ufahamu wa…
TOPIC 7: USIMULIAJI WA MATUKIO Njia za Usimulizi wa Matukio Usimulizi hufanyika kwa njia kuu mbili yaani kwa njia ya maandishi na kwa njia ya masimulizi ya mdomo. Kila njia hutegemea kwa namna msimuliaji anavyoweza kuwasiliana na msikilizaji. Ikiwa msimuliaji na msikilizaji hawakukaribiana, njia ambayo itatumika ni ile ya maandishi. Kwa mfano kama utahitaji kumweleza mtu aliyembali kuhusu tukio fulani la kusisimua utalazimika kutumia maandishi, yaani utatumia njia ya kumwandikia barua. Lakini kama unamsimulia mtu ambaye yupo karibu nawe, utatumia njia ya mazungumzo ya ana kwa ana. Taratibu za Usimulizi wa Matukio Usimulizi wa matukio dhamira yake ni kumweleza mtu…
TOPIC 6: UANDISHI INSHA ZA HOJA Insha za hoja ni insha zinazoelezea jambo fulani katika hali ya kujenga hoja ambazo zinatetea msimamo fulani alionao mwandishi wa insha hiyo juu ya jambo analolizungumzia. Hoja ni maelezo bayana yanayotolewa na mwandishi kutetea msimamo wake. Katika uandishi wa insha za aina hii, mwandishi hutakiwa kuonesha ni jambo gani ambalo analiunga mkono na ni lipi ambalo hakubaliani nalo. Ili hoja zote zipate kueleweka ni sharti zipangwe katika mtiririko wa mawazo ulio sahihi kiasi kwamba mtu aisomapo anapata kuelewa ni mada gani mwandishi anaijadili na ana msimamo gani kuhusu mada hiyo. Muundo wa Insha za…
TOPIC 5: UTUNGAJI WA KAZI ZA KIFASIHI Kazi za fasihi simulizi hazikutokea tu, zilitungwa. Mtu fulani alikaa na akatunga kazi fulani ambayo inajulikana katika jamii. Katika mada hii utajifunza kanuni mbalimbli zinazohusika na utunzi wa kazi za fasihi simulizi. Pia utapata fursa ya kujifunza jinsi ya kutunga kazi mbalimbali za fasihi simulizi kama vile ngonjera, methali, nahau, vitendawili na kazi nyingine. Utajifunza pia kanuni zinazoongoza utunzi wa kila kazi ya fasihi simulizi. MASHAIRI Kanuni za Utungaji wa Mashairi Uandishi wa kubuni unamtaka mtunzi atumie milango yake ya fahamu kinagaubaga. Kuna milango ya fahamu mitano ambayo ni pamoja na: kuona, kunusa,…
TOPIC 4: UHIFADHI WA KAZI YA FASIHI SIMULIZI Ili kitu kidumu ni lazima kihifadhiwe; fasihi simulizi kama sanaa kutokana na umuhimu wake katika jamii nayo huhufadhiwa kwa ajili ya faida ya kizazi kijacho. Katika mada hii utaweza kujifunza umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii. Utajifunza njia mbalimbali zitumikazo katika uhifadhi wa fasihi simulizi pia utaweza kubainisha ubora na udhaifu wa kila njia. Umuhimu wa kazi za Fasihi Simulizi Ingawa kila utanzu wa fasihi una umuhimu wake, kwa pamoja tanzu zake zote zina umuhimu mkubwa katika jamii. Kwaza fasihi hutumika kama chombo cha kuwaelimisha watu. Kupitia fasihi andishi na fasihi simulizi,…